Ujio wa Madaktari bingwa kutoka nchini Ujerumani

Hafla ya Uzinduzi wa jengo la Idara ya dharula Tosamaganga hospitali lililo zinduliwa na Muhashamu Baba Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa wa jimbo la Iringa iliyofanyika mnano tarehe 12/5/2023.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tosamaganga, chini ya Jimbo Katoliki la Iringa, kwa kushirikiana na taasisi ya ArcheMed (Ujerumani), inayo furaha kuwatangazia wananchi wote uwepo wa kambi maalum ya bure ya upasuaji wa kurekebisha viungo, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 Februari hadi 28 Februari 2026. Lengo la Kambi Lengo kuu la kambi hii ni kutoa…
Uongozi wa Hospitali ya Tosamaganga Unawataarifu Wakazi wa mkoa wa Iringa na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Kutakua na Ujio wa Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kurekebisha Viungo Kutoka Ujerumani , Watakuepo Hospitali ya Tosamaganga Kuanzia Tarehe 17-27 Mwezi wa 10-2023 Wote Mnakaribishwa kupata Matibabu ya Kibingwa bure.
Pichani ni Mtaalamu wa CT- SCAN Sr. Astrida akitoa maelezo mbele ya kamati ya siasa ya Mkoa wa Iringa Ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa kwanza upande wa kushoto Ndugu Daud Yassin akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Halima Dendego wa pili kutoka upande wa kushoto na viongozi wengine walipotembelea Hospitali…