Hospitali ya Tosamaganga Yapandishwa hadhi na kuwa Hospitali ya Rufaa ngazi ya Mkoa.
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/03/0_IMG-20240229-WA0094-1024x1024.jpg)
Uongozi wa Hospitali ya Tosamaganga Unawataarifu Wakazi wa mkoa wa Iringa na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Kutakua na Ujio wa Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kurekebisha Viungo Kutoka Ujerumani , Watakuepo Hospitali ya Tosamaganga Kuanzia Tarehe 17-27 Mwezi wa 10-2023 Wote Mnakaribishwa kupata Matibabu ya Kibingwa bure.