Timu ya Madaktari kutoka Ujerumani wakiendelea na Majukumu katika zoezi la kufanya Upasuaji wa kurekebisha Viungo.




Uongozi wa Hospitali ya rufaa ya mkoa Tosamaganga, inawakaribisha Wananchi wote wa Mkoa wa Iringa kwenye kambi kubwa ya bure ya upasuaji wa kurekebisha viungo. Itakayoanza siku ya Juma Tatu Tarehe 16 February hadi Tarehe 28 February mwaka 2025.