Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa azindua Hospitali ya Tosamaganga kuwa ya Rufaa ngazi ya mkoa.
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/08/IMG-20240706-WA0021-1024x1024.jpg)
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/08/IMG-20240706-WA0022-1024x1024.jpg)
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/08/IMG-20240706-WA0024-1024x1024.jpg)
Hafla ya Uzinduzi wa jengo la Idara ya dharula Tosamaganga hospitali lililo zinduliwa na Muhashamu Baba Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa wa jimbo la Iringa iliyofanyika mnano tarehe 12/5/2023.
Uongozi wa Hospitali ya Tosamaganga Unawataarifu Wakazi wa mkoa wa Iringa na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Kutakua na Ujio wa Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kurekebisha Viungo Kutoka Ujerumani , Watakuepo Hospitali ya Tosamaganga Kuanzia Tarehe 17-27 Mwezi wa 10-2023 Wote Mnakaribishwa kupata Matibabu ya Kibingwa bure.