Mabadiliko ya Ratiba juu ya uzinduzi wa Idara ya Mionzi uliotakiwa kufanyika Tarehe 13/02/2024

Hafla ya Uzinduzi wa jengo la Idara ya dharula Tosamaganga hospitali lililo zinduliwa na Muhashamu Baba Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa wa jimbo la Iringa iliyofanyika mnano tarehe 12/5/2023.