CCM Mkoa wa iringa ikiongozwa na Mwenyekiti yatembelea Hospitali ya rufaa ya Mkoa ya Tosamaganga.
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/06/0_IMG-20240606-WA0007-1024x1024.jpg)
![](https://www.tosamagangahospital.or.tz/wp-content/uploads/2024/06/0_IMG-20240606-WA0008-1024x1024.jpg)
Hafla ya Uzinduzi wa jengo la Idara ya dharula Tosamaganga hospitali lililo zinduliwa na Muhashamu Baba Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa wa jimbo la Iringa iliyofanyika mnano tarehe 12/5/2023.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezipongeza Taasisi za kidini ikiwemo kanisa Katoliki kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii kwa Wananchi. Waziri mkuu amesema kuwa kitendo cha Kanisa katoliki kufanya maboresho makubwa ya vifaa vya kisasa ikiwemo CT-Scan na huduma za kibingwa ndani ya hospitali, kinaifanya hospitahi ya Tosamaganga kupanda hadhi na…
Maboresho hayo makubwa yanafanywa kwa kutumia mapato ya ndani lakini pia jengo la I.C.U linajengwa kwa Michango iliyopatikana kwa Mbio za hisani za kuchangia I.C.U zilizofanyika tarehe 22 mwezi Jun mwaka 2023. hata hivyo bado kuna uhitaji wa wadau wa Afya na mashirika mbalimbali kuombwa kuchangia ujenzi wa I.C.U kwani bado hatujafikia Malengo.