CCM Mkoa wa iringa ikiongozwa na Mwenyekiti yatembelea Hospitali ya rufaa ya Mkoa ya Tosamaganga.


Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tosamaganga, chini ya Jimbo Katoliki la Iringa, kwa kushirikiana na taasisi ya ArcheMed (Ujerumani), inayo furaha kuwatangazia wananchi wote uwepo wa kambi maalum ya bure ya upasuaji wa kurekebisha viungo, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 Februari hadi 28 Februari 2026. Lengo la Kambi Lengo kuu la kambi hii ni kutoa…
Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Rufaa ngazi ya mkoa Tosamaganga, anawaalika wananchi wote wa ndani na nje ya Mkoa wa iringa siku ya Tarehe 27 Mwezi wa Tisa katika kambi ya upasuaji wa madaktari bingwa wa kurekebisha viungo kutoka Ujerumani. Kambi hii ni ya bure hivyo basi wakazi wote wa Iringa na Vitongoji vyake mnakarishwa…