PONGEZI KWA ASKOFU MPYA WA JIMBO LA IRINGA

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMSHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA KUSHIRIKIANA NA UONGOZI WA HOSPITALI YA TOSAMAGANGA PAMOJA NA WATUMISHI WA KADA ZOTE ZA TARAFA YA KALENGA HALMSHAULI YA WILAYA YA IRINGA KATIKA SEMINA YA MAJADILIANO YA MAMBO YA KIUTUMISHI PAMOJA NA KUSIKILIZA KERO ZINAZO WAKABIRI WATUMISHI NA KUTAFUTA UTATUZI PAMOJA NA KUTOLEA UFAFANUZI. SEMINA HIYO…
Uzinduzi wa Tosamaganga Afya cup uliyofanyika tarehe 1/6/2023 katika uwanja wa Msiwasi uliyopo Tosamaganga ,mashindano haya yamedhaminiwa na hospitali ya Tosamaganga yakijumuisha Timu kwa lengo la kuimarisha Michezo na kujenga Afya.
Hongereni sana. Mimi binafsi namshukuru mungu kwa kazi nzuri walioifanya madaktari wakati napata huduma ya ‘umbilical hernia’. Mpaka sasa naendelea vizuri, japo Nitarudi Tena ijumaa ya 23/5/2025 kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kidonda. mungu awabariki wauguzi wote wanafanya kazi nzuri sana .
asante sana mkuu karibu sana mungu akubariki upate kupoka kabisa