PUMZIKA KWA AMANI PAPA FRANCISKO.

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMSHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA KUSHIRIKIANA NA UONGOZI WA HOSPITALI YA TOSAMAGANGA PAMOJA NA WATUMISHI WA KADA ZOTE ZA TARAFA YA KALENGA HALMSHAULI YA WILAYA YA IRINGA KATIKA SEMINA YA MAJADILIANO YA MAMBO YA KIUTUMISHI PAMOJA NA KUSIKILIZA KERO ZINAZO WAKABIRI WATUMISHI NA KUTAFUTA UTATUZI PAMOJA NA KUTOLEA UFAFANUZI. SEMINA HIYO…
Uzinduzi wa Tosamaganga Afya cup uliyofanyika tarehe 1/6/2023 katika uwanja wa Msiwasi uliyopo Tosamaganga ,mashindano haya yamedhaminiwa na hospitali ya Tosamaganga yakijumuisha Timu kwa lengo la kuimarisha Michezo na kujenga Afya.