TRRH YATEMBELEWA NA TIMU YA WATAALAMU WA AFYA KUTOKA TAMISEMI

Pichani ni Mtaalamu wa CT- SCAN Sr. Astrida akitoa maelezo mbele ya kamati ya siasa ya Mkoa wa Iringa Ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa kwanza upande wa kushoto Ndugu Daud Yassin akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Halima Dendego wa pili kutoka upande wa kushoto na viongozi wengine walipotembelea Hospitali…
Maboresho hayo makubwa yanafanywa kwa kutumia mapato ya ndani lakini pia jengo la I.C.U linajengwa kwa Michango iliyopatikana kwa Mbio za hisani za kuchangia I.C.U zilizofanyika tarehe 22 mwezi Jun mwaka 2023. hata hivyo bado kuna uhitaji wa wadau wa Afya na mashirika mbalimbali kuombwa kuchangia ujenzi wa I.C.U kwani bado hatujafikia Malengo.
Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Rufaa ngazi ya mkoa Tosamaganga, anawaalika wananchi wote wa ndani na nje ya Mkoa wa iringa siku ya Tarehe 27 Mwezi wa Tisa katika kambi ya upasuaji wa madaktari bingwa wa kurekebisha viungo kutoka Ujerumani. Kambi hii ni ya bure hivyo basi wakazi wote wa Iringa na Vitongoji vyake mnakarishwa…
Tosamaganga Regional Referral Hospital inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi kupitia ujenzi wa Jengo jipya la Mama na Mtoto, mradi mkubwa na wa kimkakati unaolenga kuinua ustawi wa afya ya wanawake na watoto katika mkoa wa Iringa na maeneo jirani. Picha inayoonekana inaonyesha hatua muhimu za ujenzi zinazoendelea kwa kasi,…