Hospitali ya Rufaa y Mkoa ya Tosamaganga yapokea Vitanda na Vifaa tiba kutokea Italia



Maboresho hayo makubwa yanafanywa kwa kutumia mapato ya ndani lakini pia jengo la I.C.U linajengwa kwa Michango iliyopatikana kwa Mbio za hisani za kuchangia I.C.U zilizofanyika tarehe 22 mwezi Jun mwaka 2023. hata hivyo bado kuna uhitaji wa wadau wa Afya na mashirika mbalimbali kuombwa kuchangia ujenzi wa I.C.U kwani bado hatujafikia Malengo.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tosamaganga, chini ya Jimbo Katoliki la Iringa, kwa kushirikiana na taasisi ya ArcheMed (Ujerumani), inayo furaha kuwatangazia wananchi wote uwepo wa kambi maalum ya bure ya upasuaji wa kurekebisha viungo, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 Februari hadi 28 Februari 2026. Lengo la Kambi Lengo kuu la kambi hii ni kutoa…
Pichani ni Mtaalamu wa CT- SCAN Sr. Astrida akitoa maelezo mbele ya kamati ya siasa ya Mkoa wa Iringa Ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa kwanza upande wa kushoto Ndugu Daud Yassin akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Halima Dendego wa pili kutoka upande wa kushoto na viongozi wengine walipotembelea Hospitali…